Jumatatu, 23 Februari 2015

Janga la ndugu zetu albino



Hizo picha juu ni baadhi ya wanyama Albino.  Jamani inasikitisha sana kuona ndugu zetu albino wanaumwa kwa ukatili mkubwa sana na kupewa mateso mazito e.g kukatwa viungo vyao hii inaudhunisha sanaaaaaaaaaaaaaaaa.  Jamii tuondokane na imani potovu tumrudie mungu wetu.  Mungu ndio anagawa ridhiki na simwingine.  Ndugu zetu albino ni watu kama sisi ila wao walemavu wa ngozi kama ilivyo kwa walemavu wangine.  Hivyo kuwakata viungo ni kuwaogezea ulemavu na kuwaogezea maisha magumu.    Hata wanyama wapo Albino na unaishi vizuri bila manyanyaso na wanyama wengine.  Vipi sisi binadamu mwenye akili za kufikiri tunawatesa na kunyanyasha wenzetu.  Inauma sana wewe mwenye imani potovu mrudie mungu wako na usome kuhusu albino.  Albino agekuwa anauwezo wa kukupa cheo au mali basi ageaza kupata yeye.  Mungu walindi viumbe wako wasio na makosa kwa hukumu wanayopewa ni nzito hawasitaki. 

Ijumaa, 6 Februari 2015

Mwanamke aliye jioa mwenyewe





Mdada wa kimarekani (African American) Yasmin Eleby aliyeamua kujiowa mwenyewe.  Kwani aliona anakalibia miaka 40 hajapata mtu wa kumuoa.  Na hakupenda afika miaka hiyo kabla hajaolewa. Hivyo akamua kujioa mwenyewe na kufanya bonge ya harusi ikudhuliwa na ndugu na jamaa uko Houston.


Jumanne, 3 Februari 2015

The Best Natural Skin Moisturizer

Week iliyopita tuliwaletea Njia za kukufanya uonekane mrembo bila makeup.  Moisturizer ilikuwa moja ya vitu muhimu kukufanya uwe mrembo.  Kwani moisturizer ni muhimu sana katika kutunza ngozi yako na hasa ngozi ya usoni (Mwanamke face bibi).  Hivyo leo tukaona ni bora tuwape tips za kutengeneza Natural skin moisturizer kwa wale wasio penda chemical na wanaogopa product za madukani.  Pia wanaoishi kwa budget kwani product za ukweli na bei yake ni ya ukwee. Usisumbuke sana mungu anatupenda jaribu vitu vya Asili (Natural) uone matokeo yake. Fatilia hapo chini tips za kujitengenezea Natural Moisturizer yako

1. Kijiko kimoja cha asali (honey)
2. Avocado
3. Maziwa
4. Olive oil
Changanganya kwa pamoja mchanganyiko wa vitu hivyo juu. Pakaa kwenye uso wako acha kwa dakika 10-15 kisha safisha vizuri uso wako.  Kwa matokeo bora tumie mara mbili kwa week.  Kama na wewe una chochote cha kuchangia usisite kututumia kwenye email: mamaimraan@gmail.com
 

Jumatano, 28 Januari 2015

Pata tips za kuonekana mrembo bila makeup

Hakikisha unaosha uso wako mara mbili kwa siku kwa maji safi.  usipendelee kuosha na sabuni kali inaweza kupausha uso wako.
Tumia moisturizer kila siku, tafuta moisturizer inayofaa ngozi yako.  Kama ngozi yako ni ya mafuta (oil skin) basi tafuta moisturizer itakayo suit ngozi yako. Sio wewe ngozi yako ni ya mafuta |utumie moisturizer ya ngozi kavu (dryskin).

Mara moja kwa week tumia scrub na kitambaa safi kwa ajili ya kusafisha uso wako.  Usipendelee kutumia scrub kwa kila mara wala usifute kwa nguvu utakausha uso wako.  Na kuufanya uwe mkavu (dry).
Tumia toner nzuri inayo suit ngozi ya uso wako.  Tunaimetegenezwa kukusaidia kujenga ngozi ya sura yako.  Mfano ukiwa na ngozi ya mafuta toner inasaidia kupunguza mafuta na kuziba matundu. vilevile wenye ngozi kavu toner inasaidia kulainisha ngozi yako.
Pimples inapoteza muonekano wa sura yako. Jitahidi kutafuta dawa ya kutoa pimples na ikiwezekana muone daktari au mtaalam.

Ni vizuri kutumia Sun screen kila siku hata siku za baridi au mawingo.  Miozi ya juu inaharibu ngozi na kuzeesha.
 Usipendelee kushika shika uso wako.  Tabia hii uharibu uso ngozi ya uso wako.

 Kuangalia ngozi yako pia kunausishwa na vitu unavyoingiza tumboni kwako.  Tumia maji kwa wingi na pendeleza kulala si chini ya masaa 8 kwa usiku moja.

 Angalia nywele zako hakikisha kila week atleast mara mbili unaosha nywele zako na kuziweka safi.
 Tumia kifaa cha kupendezesha kope zako au tumia mascara kuzifanya kope zako zipendeze.

 Hakikisha lips zako haziwi kavu.  Tumia lip shiner kungalisha na kupendezesha lips zako.
 Kama macho yako inatabia ya kuwa red, jaribu kutumia dawa ya kutoa wekundu kwenye macho yako (unaweza kumuona daktari).  Macho yako yakingala inakufanya upendeze.
 Unaweza kuweka rangi kidogo kwenye mashavu yako rangi ya pink inapendezesha sura yako.
 Jitahidi uwezavyo kutuza meno yako, ili uonekane mrembo ni lazima uwe na meno mazuri na ya kungala.  Piga mswaki kila baada ya mlo.  Kupunguza muonekano wa rangi ya manjano kwenye meno yako.

 Usipende kuwa mtu wa kununa nuna.  Tabasamu ufanya mtu aonekane mrembo.
Vaa mzuri kuvaa mzuri kunasaidia kukufanya uwe mrembo.
Style ya nywele pia usaidia kukufanya uwe mrembo.  Hivyo zingatia style nzuri ya nywele.
 Chakula bora kinasaidia sana kutegeneza ngozi yako.  Kula matunda na boga boga kutegeneza ngozi yako.  Kuzuri haitaji makeup.

Lizika na ulivyoumba.  Jipende mwenyewe ili kujiamini na kuonekana mrembo zaidi.  Usiweke akili kwako bila makeup uwezi pendeza. 

Alhamisi, 15 Januari 2015

Njia 21 za kukufanya uwe na Afya njema

kwanza tuangalie nini maana ya afya njema: ni mwili wa binadamu kuwa mbali na magonjwa na kufanya kazi vizuri.


Kitu muhimu cha kwanza cha kuzingatia uwe na afya njema ni kula vizuri (kula vizuri haimaanishi kula mahajumat na mazagazaga kibao) ila kula vizuri ni kupata bonga bonga, matunda, protein kidogo.  Pia zingatia kula kidogo kidogo kila mara na avoid kula chakula kingi sana kwa wakati mmoja.


 Pili zingatia kulala vizuri takiribani masaa 8 kwa usiku mmoja avoid kulala chini ya masaa 8.

 Unaweza kuwa unajisikia vibaya kwa kuwa unamawazo au kitu kinakusumbua, ongea na mtu unayemuamini au mtaalam (therapist).  Inasaidia kupunguza msongo wa mawazo na kujisikia mzuri.  Na kudumisha afya yako.


Kuwa karibu na mwenza wako pia inasaidia kuwa na afya njema.
Kucheka pia kunasaidia kujenga Afya yako. Unapofurahi cheka.

Wengi wetu uwa tunapendelea kukaa na kuangalia TV au kazi zetu zinatufanya tukae kwenye computer/desk kwa muda wingi.  Hivyo ni bora kujitegea time ya kufanya walking.  Ili kudumisha afya yako.
Mara nyingi mahali tunapoishi au kufanyia kazi inakuwa ngumu kupata Oxygen yakutosha hivyo jitahidi unapopata time kutembelea sehemu za bustani, shamba au kwenye miti ili upate Oxygen ya kutosha.



Onyesha upendo kwa wagonjwa au wahitaji inasaidia kujenga afya yako.

Chukua time ya kusoma au kujifunza  kwa kupitia internet au kitabu kuhusu afya bora.

 Jitahidi kuzingatia mambo yanayohusu afya yako kwa kuzingatia mlo na tabia yako kwa ujumla. Kama unatabia yoyote inayo haribu afya yako jaribu kuhiicha.


Kunywa maji kwa wingi uwezavyo.  Maji ni Dawa kubwa kwa Afya yako.

Cheza kadiri uwezo na wala usione umri umetaradadi basi una haki ya kucheza.  La unapopata time cheza uwezavyo.
Jitahidi kuwa mbonifu wa mambo mbali mbali mfano kupika chakula ulichobuni mwenyewe inasaidia kukupata furaha na kujenga afya yako.

Imba sio lazima uwe muimbaji unaweza kuiba hata mauwa mazuri na mwanao kutoa sauti inasaidia kujenga afya.
 Jiweke muda wa kumpuzika kwa kila siku.