Blog sponsor

Blog sponsor

Jumatatu, 27 Oktoba 2014

Habari iliyonisikitisha




House-girl amchoma kisu mtoto wa miaka 4 sehemu ya jicho, mwanzo alidaganya mtoto kagongwa na pikipiki.  Mungu barike mtoto mwenyewe alikomaa kwa kumnyoshea kidole akiashiria kitendo hicho kafanyiwa na huyu bi dada na wala sio kugongwa na pikipiki.  Baba wa mtoto aliamua kumchukua mtoto wake na house girl huyo mpaka Polisi.  Walipofika Polisi  hausigeli alipoulizwa ni kwa nini alifanya kitendo cha kinyama kiasi hicho alisema kuwa alikuwa akitamani kumtoa jicho mtoto huyo.
Kwa madai kuna shetani au roho ilikuwa ikimtuma amng’oe macho mtoto wangu alidai baba wa mtoto. Ndipo Polisi walipo mueka  Binti huyo kwenye Kituo cha Polisi cha Tabata akisubiri sheria ichukue mkondo wake.

 Allah awalinde watoto wetu na watoto wote kwa ujumla ameen



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni