Jumatano, 7 Januari 2015

Nafasi ya Oprah imechukuliwa na Folorunsho Alakija


Miaka mingi ya nyuma Oprah alifahamika kuwa mwanamke mweusi tajiri kuliko wote Duniani, ila sasa nafasi yake yachukuliwa na Bi Folorunsho Alakija.  Na kutambulika Folorunsho Alakija ndio mwanamke mweusi tajiri kuliko wote duniani

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni